Kwanini nikigusa hii tachiskrini ya simu yangu na kitu kengine mbali na gumba langu haifanyi, lakini nikitumia jani la mogoka inafanya?. Inakuaje hivi?
3 Likes
I just love a lesbian hekaya, so they are both pregnant, who is the lucky bastard?
hii storyline uzia kingsley ogoro…
Hehe, si huko na ujinga mujamaa
1 Like
Oya braza niko siriasi. Hebu jaribu na ushale wa kiberiti alafu jaribu na jani la mogoka, nipe matokeo. Lakushangaza hata jani la bangi haifanyi.
2 Likes