apana taka enda jela Inda wa2 wanguz.nimekuwa uko 2wks. Nku fyam jo..heri m2 atingwe Kamiti badala ya Inda. Inda mnze kuna mableina na wajua. chki sku ya fao nikiwa neti bleina ananishow nilalishe kwa toile bana..na uko jo mavi zimeja. mm kuchki ni bleina nikam pig hedi akatulia. wacha mnite...
The Richest Wrestlers in the World:
#1: The Rock Net Worth – $125 Million
#2: Steve Austin Net Worth – $45 Million
#3: John Cena Net Worth – $35 Million
#4: Triple H Net Worth – $25 Million
#5: Big Show Net Worth – $20 Million
#6: Kurt Angle Net Worth – $20 million
#7: Chris Jericho Net Worth...
hii ni keja ya manzi wangu mluhya ambea nilikuwa na date Dandora..bado anaka na maparo juu ya kukosa hela. Ni single room na wote ulala kwa hio room. reason mbona toothbrush ziko hapo ni kwa sababu ni single room..bafu iko inje. Ni familia ya watoi wawili (dame wa myne na bro wake mdogo)...manzi...