Of course yes..
After nimeleft the next day anaanza kunitext mbona nlienda. Hiyo text niliiweka grey ticks for three weeks akanitext tena ati ananidai. Nikaendelea tu kumlenga hadi akaanza kucall ati ako sorry na anataka kunitembelea.
Alipokuja, alipata dame kejani..kwanza hapo tu kwa kitanda...
Of course I was like that then...
I learned the shittier way..the best thing nlimlenga for almost a month akaanza kunisaka, anakaanza kupiga simu often. Ile day alikuja kunitembelea alipata kadame kasawa kejani...Karibu ajitie kitanzi
Of course not..si alidumpiwa na huyo nigga akaanza kunidai...nkamwambia akuje atembee keja. Tym alifika alipata kadame kasawa kukaliko kwa bed..
Eventually aliona hakuna mtu anamdai akapewa ball na kistranger
Hehe, kafala kananitext after nimeleft the next day ati "mbona umeenda?" Hiyo hata niliipea grey ticks for three weeks hadi akanitext juu alidumpiwa eventually