2020 Mercedes Maybach GLS - maneno ndio hiyo.

https://www.youtube.com/watch?v=QTaHm8YPZ5w

Hii sasa ni mita ngapi sisi watu wa outback tuseme nini shiet hii ni madharau sasa gai… Y do i see this car is almost similar in side looks kama nissan patrol new model. But damn its way cooler daaaaaaaaaamn

Is it me ama siku hizi car companies are pushing SUVs like shiet. Mpaka Aston Martin wameanza zao.

[MEDIA=tumblr]did=c069fc72a3f307e3d3b5d1c3a1562d97fc6efe36;id=184009429106;key=NSrvnhoObAlqZf7ldsUA2Q;name=envyavenue[/MEDIA]

[MEDIA=tumblr]did=18e3a0daa050d454d52521e0151a94579ac1a7cc;id=186198711919;key=m9vJIdh5hUbncTDwiA12HA;name=carspotdx[/MEDIA]

Ngojeni next year itapatikana tu huku

Kuna chums zingine zangu zinaiva and am thinking of buying a good probox, my first car. Nichanueni wadau

Wait till you see a Lambo, don’t know if Ferrari are there yet

Lambo ni kali I saw one one hizi celebrity shows Ti and tiny

Lambo Urus

In Uganda people drive those cars. Kwa wakenya io ni gari kubwa sana ju ya taxes. In Uganda with less than 1 million you can drive over 3500cc vehicles, stress free

BMW X7 ndio mambo yote

true dat, lakini bado tu wako na tushida twa ujinga ujinga zenye ata wewe niko sure huwes tamani kukaa uko juu ya big SUV’s

Wacha ni ulize… Hiiii ita lipiwa comprehensive ama watu wa probox wata manage To kulipia 3rd party insurance???

Hahaha possibly a rebadged souped up Nissan patrol… After all the double cab Benz pickup is also a rebadged Navara

It’s not a rebadged navara, it is based off the Mercedes glc, their largest SUV. There are some in Kenya(glc). The Ferrari SUV is in development, that’s how you know the world is losing it’s goddam mind

Peasant and billionaires hawatambui comprehensive shiet

Lamborghini SUVs have been in the market for a minute

Because the market is growing and
sales of SUVs keep rising. SUVs also have the best margins of all car classes.

We are headed towards fully electric vehicles hii apana tambua