Accident Alert: Kongowea

Jamaa kapawa kichapo cha umbwa mskitini na na raia baada ya kugundua alikua mlevi. Kwa bahati nzuri alikua amepita na mlingoti wa street light peke yake.
Don’t drink and drive.
[ATTACH=full]88416[/ATTACH] [ATTACH=full]88417[/ATTACH]
[ATTACH=full]88418[/ATTACH]

Wont be surprised kama ni ya Mitau. Lorry zake hukua na nuksi kuruka

1 Like

@mukuna likes this
He has a valid reason why hakuoga

2 Likes

:D:D:D lakini nimekasirika sana nilikua psychologically prepared kuoga leo

6 Likes

@Meria Mata wapi TBT

1 Like

Mtaani hapo…dnt i miss this place…ametoka chini ya bridge kutap maji!!!

1 Like

@byro or @shocks , can these concrete hollow poles be repaired/patched up ama they’d just have to recycle through a crusher?

1 Like

ku repair ni expensive than replacing with a new one. Acha shocks akuelezee deeper in terms of concrete bonds and stuff.

3 Likes

No, once hiyo reinforcing mesh imekatika itahitaji iwe lapped before casting ifanyike. Then vile @byro amedai bonding new concrete to old surfaces hu create weak point hapo, unaweza kutumia some bonding agents tho its just cheaper to bring a fresh pole

6 Likes