acha kulia ati wakenya hawana pesa, ni wewe huna

so these beasts are around??
" https://www.youtube.com/embed/PDlmwAmGYl4 "

Wakenya wako na pesa. Hakuna mtu anaweza kataa hiyo. si wako na ndege. most aircraft will cost more than $1 million. pia wakenya wako na maploti za 0.5billion, 1 billion,2bilion nakuendelea. tugari i just what you can see them drive.

1 Like

Ni za 40 by 80.:D:D:D

1 Like

pesa ni tamu kweli… hii ni ile ya paul kobia??