Admin....

Toa hio banner I demand. Na sauti ya Kethi.

Install adblock

Mbona sina hiyo banner? I just closed it earlier na haijaruidi

2 Likes

there’s a small X at the end you just click it and it goes away…

1 Like

Weren’t you overjoyed a minute ago because Obama has touched down? What happened?

2 Likes

Just click the x kando yake. Hiyo yake haitaitoa

Nimeclick iyo x. You should too

halafu@Admin hizo meaningless words zote ni za nini? ati " would like to take this opportunity…" blah bla bleh kwani wewe ni speechwriter wa chief wa Kimende? si ungeandika “Kenyatalk welcomes Barrack Obama…”

Sasa banner inawasumbua na nini? Kwani imelala kwenye mnalala?

Hio banner inakaa hapo mpaka Yesu…sorry Obama arudi.:slight_smile: