@admin

Sasa watermark ya ukweli ni kitu kama hii hapo chini, hio ingine ya kuweka kenyatalk.com kwa base ni upuuus inafaa kuwachwa with immediate effect. Do something priss, hiyo watermark umeweka kwa kijiji ni bonoko na haileti bidii, bado mbica zetu zina copy paste-iwa. Ni hayo tu kwa sasa.

[ATTACH=full]11087[/ATTACH]

7 Likes

@admin ako na moods siku hizi

[ATTACH=full]11089[/ATTACH]

hivi?

5 Likes

beautiful model

kanono huyo ni bibi yako?

Yea buda, fundishaga akina mon key hii maneno

1 Like

@kush yule mnono kuna KYM alikua president wa VIP ya Klist. Ni wewe?

Bado sijabarikiwa but zile mimi huchapa ni kama hii. Size ni ya laptop.

si utakavuja na hio unono yako

1 Like

Admin ana maringo siku hizi hawezi skiza. Nilisema watermark should be optional, ideally to be used on original pics.

2 Likes

Hii ya kina manki hata sio watermark.

1 Like

Heard your cries. Give us a week. N we will implement something that you all like

6 Likes

Nilisoma spidi thought umesema admin ako na mods sikuizi

Acã

Count down on the way…

yani lazima watu watete mara kama 50 ndio kitu isemekane itafanywa?!

keep calm we are watching, we can shut it down too

5 Likes

NIAJE uncle @ekamsweu

En something else we all like ni Vip.So ata iyo mwangalie

trying to take a mile? goody luck with that…

1 Like