I am intending to buy a TV for my mum and I just remembered a post here about places in Luthuli avenue where one can buy a genuine TV with competitive prices compared to other places
Please assist with the name of the building and the shop
Enda hapo junction ya Luthuli na mfangano street(as highlighted in red circle), kuna a tv shop hapo that has many TVs on display. They move volumes so they got latest tvs, are very affordable and ni waarabu so no monkey business hapo. I always refer my pals hapo. More than 50 sets bought in 2 years and no complains so far.
NB: Dont dare go past munyu Road, hiyo ni shiny eyes area umeingia, utabaki umenunua SQNY ukicheza.
enda past munyu road,opp timboroa hotel along sheikh karume road. angalia duka ya ‘sayonna pps’. building inaitwa ‘Fika Citi Mall’ hapa utapata na competitive prices compared to other places.
Ati mtu kwenda nunua televisen luthuli napewa bei musuri sana. Lakini baada ya kulipa wanaongesea wewe kitu juu yake alafu wewe lassima itoe pesa ingine juu.
Kabla wewe inanunua, hakikisha TV nafanya kazi vile iko na accessories ssssote siko ndani ya box.
But serious, be careful as you buy. I read about that a few days ago. Link iko mahali Nairobi news.