Kuna jamaa ameniletea kadi ya pre wedding ati nimutolee kitu,yeye huwa hanunui nyama kwa butchari yangu ni si ati hakuli nyama,si nimwabiye atebeze kende?
ninini watu wote skuizi kuchangiwa kufanya harusi kama uwes afford? mimi present ntakuletea ndio hata vijiko na sahani uanze nayo life but hii kuchanga changa ati harambeee kuitwa itwa kila wikendi bana nayo ziiii