Advice

Kuna jamaa ameniletea kadi ya pre wedding ati nimutolee kitu,yeye huwa hanunui nyama kwa butchari yangu ni si ati hakuli nyama,si nimwabiye atebeze kende?

2 Likes

onyesha hiyo kadi hapa tuone labda ni ndoto …

1 Like

Mwambie anunue nyama ya wedding kwa butchery yako

hata hio nashuku nikimpatia kitu hawezi nunua kwangu.kama tuquarter anakataa na makilo je?

" NGELI " Bro!! ngeli!

Mwambie heshima ni kitu muhimu sana.

Lead by example… Hahaha

mpatie kakitu wakameat utaonekaniwo; halafu wedding present ikue guideline ya disposing diapers, they will need it soon

1 Like

mwambie unataka sword fight kwanza. akishinda ndio utatoa kakitu

mnunulie hii kama gift
[ATTACH=full]11290[/ATTACH]

1 Like

Mwambie usiwe mwepesi wa akili

Haha @Wakanyama uko na bushere wapi?

kuja Dago market nikunulie supu na kichwa ya mbuzi

2 Likes

Leo kwanza nimeshida niki dissect makagare ya nguruwe. You and I can make a great meaty couple.

4 Likes

Ni makagare ama makugala ?o_Oo_O

leviticus 18:22

1 Like

Wacha atembeze kengele zake.Kwani atakusaidia na bibi?

2 Likes

ninini watu wote skuizi kuchangiwa kufanya harusi kama uwes afford? mimi present ntakuletea ndio hata vijiko na sahani uanze nayo life but hii kuchanga changa ati harambeee kuitwa itwa kila wikendi bana nayo ziiii

na hiyo harusi atafanya hata nyama atanunua kwako ya iyo sherehe? aih hiini mazoeano

1 Like

nyama nitakua nikikuletea fillet na hump yaani iguku,utakuwa momo upende usipende.he he he lakini usifikirie kudissect makagari yangu