AGNES MASOGANGE

Rest In Peace
https://www.instagram.com/agness_masogange/
Video queen maarufu nchini, Agnes Gerald ‘Masogange’ amefariki dunia hivi punde (leo Aprili 20, 2018) katika Kituo cha Huduma za Afya cha Mama Ngoma, Mwenge jijini Dar es Salaam baada kuzidiwa ghafla jana na kukimbizwa hospitalini hapo.
Taarifa ambazo hazijathibitishwa, zinadai Masogange alifikishwa Hospitalini hapo akisumbuliwa na homa ya matumbo na tatizo la kupungukiwa na damu. Global Publishers imefika hospitalini hapo na kujionea umati wa watu waliokusanyika wakilia kwa uchungu kumpoteza msanii huyo.
Dkt. Kihama Ngoma ameithibitishia Global Publishers na kusema taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Tayari mwili wa marehemu Masogange umehaimshwa hospitalini hapo na kupelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi, AMEN!.
https://globalpublishers.co.tz/wp-content/plugins/cool-image-share/img/roundsimple/facebook.pnghttps://globalpublishers.co.tz/wp-content/plugins/cool-image-share/img/roundsimple/twitter.pnghttps://globalpublishers.co.tz/wp-content/plugins/cool-image-share/img/roundsimple/google.pnghttps://globalpublishers.co.tz/wp-content/plugins/cool-image-share/img/roundsimple/pinterest.png

warapend?

https://globalpublishers.co.tz/breaking-news-masogange-afariki-dunia

msriep

Who the hell is she

You mean sahii this ass ni mali ya mchwa. Major loss :(:(:frowning:
https://i.ytimg.com/vi/oswgbUrmLeA/hqdefault.jpg
http://4.bp.blogspot.com/-X7o78MUSxB0/VoqWgoNiPuI/AAAAAAAAPoI/HwQLbD846U0/s1600/AGNES.jpg
http://whatxp.com/wp-content/uploads/2017/09/Screenshot_43-750x450.png
https://news2.onlinenigeria.com/files/Agnes_Masogange_403956656.jpg

alisafisha watu macho sana ig

https://www.youtube.com/watch?v=oswgbUrmLeA

In greek we say ,"mwiri ni mahua."na Kiero ni ruimbo.

Nice piece of booty meat.

Haukuwa unamjua marehemu?

Nope.

Na kwanini profile picture yako unalia?

Sad, is all I can say. Yote vanity my ninjas.

Nyakundi ametuambia alikua a drug mule Yaani alikua anawekwa drugs kwa matako apitishe airport.probably an overdose

nyakundi appears to be bitter with everyone, picking fights with everyone and a know-it-all-person…sometimes i wonder whether what he says is factual

That ass.! What a waste

Damn!

What a fine ass! Maggots are gonna have one hell of a feast.

It’s true she was a drug trafficker. Our bongo brothers and sisters are involved in the business a lot.

she was. and she was a user too. am not sure what this shosholite bizness is all about, probably the stereotypical slogan ya Drugs, Sex and money. Like this Kenyan lady (shosholite too) is currently wasting away in the coolers, serving 10 years in Ghana for Drug trafficking.
[ATTACH=full]167188[/ATTACH]

Then there is this :
[ATTACH=full]167189[/ATTACH]
[SIZE=4][FONT=courier new]A 26-year-old Kenyan woman identified as Ivy Mugure Daniel is cooling her heels in a Ghanian prison. Ivy was arrested on January 9, this year by anti-narcotics agents at Kotoka international airport, while trafficking cocaine valued at Sh9 million. According to Ghanaian media reports, Ivy Mugure was accosted by officers, ‘who asked for her check-in luggage and following a search, a big parcel wrapped with a black polythene material containing an off-white powdery substance weighing three kilograms was discovered.’ She explained that the luggage belonged to her boyfriend, who she only identified as Benson. Ivy revealed that Benson bought her a ticket and gave her a traveling bag to pack her belongings little did she know it was a trap. Ivy is currently spending nights at a prison in Ghana. In 2015, socialite Pesh Lema was also jailed in Ghana for 10 years after she was caught smuggling drugs out of the West African nation.
story[/FONT][/SIZE]