AHSANTE SANA MO na Watekaji

MO Dewji
Billionaire ambaye alijirahisi na kufanya majambazi watekaji wa Tanzania wadhani kuwa ni rahisi kumteka na kumfanyia ushenzi wao waliozoea.
Ni wazi sasa wale waliodhani alikuwa mweupe bila silaha wamebugi.
The man wa sofsticated alivaa communication gadget ambayo hawakuitambua wala kumkagua. mazunguzo yote yako laivu UK na US hata pale dictator dracula alipoagiza apelekwe magogoni mazungumzo yote yamenaswa na UK na US sasa huu ni mwanzo wa mwisho wa hawa washenzi trust me. FBI wako job!! shenz type! Lazima niseme AHSANTE kwa sababu sasa tutawajua watekaji na hata wale waliompiga Lissu risasi naamini silaha zilizomshambulia ni zile zile zilizoachwa gymkana. Ahsante MO misukule ya TZ aka polissm yanadhani kuwa kuwa na silaha ni kila kitu!! Ufumbuzi huooooooooo!! Lisu, Ben Saanane, Azory na wote waliouawa na kuumizwa ufumbuzi uko mlangoni. Na sisi watz tukijua tusikae tena kimya ikiwezekana tutafute hata msaada wa majirani zetu kupiga kelele dunia ijue na ikiwezekan dictator akamatwe na mwanaye!

shezi taipu kabisa

http://www.jamhurimedia.co.tz/wp-content/uploads/2018/10/Screen-Shot-2018-10-23-at-10.49.30-AM.png

Technolojia ni hatari kwa kweli kama ni kweli

Kwa hiyo sasa hivi wanamchora tu kichaa

Sawa.

Mkuu hili gazeti la Jamhuri ni lakuaminika kweli?

Hilo gazeti ni ugoro

Ngoja tuone…

Cc: @Mahondaw