Just watched Owino n Senator narok go at each other on madondo ntv interview. Owino hatishwi! Larry forced to cut short and ask for a break. I hope AIG apige kofi huyo ghasia
Madodo just puts me off…changed channel when he posed the qtn has anybody been arrested…Owino had already explained that…I hate rhetorical questions
weka wrink
Ledama loves this political kunyalysis.
Wapigane tu hii beef iishe
Huyu Ledama anajieka posishen poa ya 2022.
Tumeona wengi wameamka hivyo lakini hawakufika mbali. Hii Kenya mwendo ni aste aste. And btw huyo Ledama hana kura worth on the table
Uyo owino ni mtu ya D- fake
The Raila type of abrasive, abusive, chest thumping, mimi ni politician mbaya am not afraid of anyone politics is dying.
That’s what he forgets
Really?
Wat I mean is that in ODM, he is gaining traction.
Gerrit?
Huyo ledama ni mwenye aliitwa Ole kuma na Alai???