Akili za wanawake wa leo

Mariam kwenye biblia
Alikuwa bikra aliolewa na
Fundi seremala
Lakini wewe hata sio
Bikra unataka uolewe na
Billionea
Unawazimu

Hahaaa. Ila maisha yanabadilika bana Mkuu hivyo tuwaache tu wasubirie hao mabillionea nina imani siku wakikosekana basi hao hao mafundi seremala watakuwa na thamani

IPO siku hata hao mafundi selemala watatafutwa hawatapatikana

Ha ha haaa…watasubiri sana…

Hahahahahaha

Wewee!

Nimekununia hapa hujui tu Sesten. Hahahaaaa.

Wee hujaona watu walivyo sambaratishwa kila mtu akakimbilia njia yake tena ghafla

Ukininunia utakua unamuonea mkimbizi mwenzio Hajar

Hahahaaaa. Haya bana.

Wacha nikuonee tu kwa kweli. Hahahaaa.

Tena Wazimu uliopitiliza aise.

Umepitiliza zaidi ya kupitiliza, Yaaani wa wazimu juu ya wazimu mbele ya wazimu

Teh teh teh kweli kabisa

hahahahahaaahahahahaah

Yaaaani papuchi imepigwa miche ya kutosha kiasi kwamba miguno ni sehemu yake hata kama ikikutana na kibamia, halafu mtu anakuambia eti anataka mwenye hela. Daaaaaa.Haaaaaaahaaaaaa

Inafurahisha sana…

Kipindi cha Mariam, useremala ulikua unalipa…

Kipindi hichi, japo maisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu…

Cc: @Mahondaw

mkuu ni kwamba siku hizi wanazaliwa bila bikra…

just hivyo yaani…

umekuja kumchumbia wa kuwa mke au bikra, naamin umefuata wa kuwa mkee achana na bikra

Wanawake wa leo hawana tofauti na Wi-Fi. Mara huku kwa slay queen Mara kule kwa wa mama…