Alfajiri ya kupendeza ( Sikukuu ya epifania)

SIKUKUU YA EPIFANIA, TOLEO LA BWANA

Somo la kwanza: Isa 60:1-6

Zab: 72: 1-2, 7-8, 10-11, 12-13

Somo la pili: Eph. 3:2-3a. 5-6

Injili: Mt 2:1-12

Nukuu:

“Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa Bwana umekuzukia,” Isa 60:1

“Na mataifa wataijilia nuru yako, Na wafalme kuujia mwanga wa kuzuka kwako,” Isa 60:3

“Ndipo utakapoona na kutiwa nuru, Na moyo wako utatetemeka na kukunjuka; Kwa kuwa wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri wa mataifa utakuwasilia,” Isa 60:5

“ikiwa mmesikia habari ya uwakili wa neema ya Mungu niliyopewa kwa ajili yenu; ya kwamba kwa kufunuliwa nalijulishwa siri,” Efe 3:2-3a

“Siri hiyo hawakujulishwa wanadamu katika vizazi vingine; kama walivyofunuliwa mitume wake watakatifu na manabii zamani hizi katika Roho; ya kwamba Mataifa ni warithi pamoja nasi wa urithi mmoja, na wa mwili mmoja, na washiriki pamoja nasi wa ahadi yake iliyo katika Kristo Yesu kwa njia ya Injili,” Efe 3:5-6

“Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema, Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia,” Mt 2:1-2

“Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye,” Mt 2:3

“Akawapeleka Bethlehemu, akasema, Shikeni njia, mkaulize sana mambo ya mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie,” Mt 2:8

“Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane,” Mt 2:11

“Nao wakiisha kuonywa na Mungu katika ndoto wasimrudie Herode, wakaenda zao kwao kwa njia nyingine,” Mt 2:12

Tumsifu Yesu Kristo!

“Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi,” Ufu 19:14

Tusali:

Ee Yesu, nijalie neema ya kutopoteza furaha yako ndani ya moyo wangu.

Amina

English version:

First Reading

Isaiah 60:1-6

1Arise, shine; for your light has come, and the glory of the LORD has risen upon you. 2For behold, darkness shall cover the earth, and thick darkness the peoples; but the LORD will arise upon you, and his glory will be seen upon you. 3And nations shall come to your light, and kings to the brightness of your rising. 4Lift up your eyes round about, and see; they all gather together, they come to you; your sons shall come from far, and your daughters shall be carried in the arms. 5Then you shall see and be radiant, your heart shall thrill and rejoice; because the abundance of the sea shall be turned to you, the wealth of the nations shall come to you. 6A multitude of camels shall cover you, the young camels of Mid’ian and Ephah; all those from Sheba shall come. They shall bring gold and frankincense, and shall proclaim the praise of the LORD.
Responsorial Psalm

Psalms 72:1-2, 7-8, 10-13

0A Psalm of Solomon. 1Give the king thy justice, O God, and thy righteousness to the royal son! 6May he be like rain that falls on the mown grass, like showers that water the earth! 7In his days may righteousness flourish, and peace abound, till the moon be no more! 9May his foes bow down before him, and his enemies lick the dust! 10May the kings of Tarshish and of the isles render him tribute, may the kings of Sheba and Seba bring gifts! 11May all kings fall down before him, all nations serve him! 12For he delivers the needy when he calls, the poor and him who has no helper.
Second Reading

Ephesians 3:2-3, 5-6

2assuming that you have heard of the stewardship of God’s grace that was given to me for you,3how the mystery was made known to me by revelation, as I have written briefly. 5which was not made known to the sons of men in other generations as it has now been revealed to his holy apostles and prophets by the Spirit; 6that is, how the Gentiles are fellow heirs, members of the same body, and partakers of the promise in Christ Jesus through the gospel.
Gospel

Matthew 2:1-12

1Now when Jesus was born in Bethlehem of Judea in the days of Herod the king, behold, wise men from the East came to Jerusalem, saying, 2"Where is he who has been born king of the Jews? For we have seen his star in the East, and have come to worship him."3When Herod the king heard this, he was troubled, and all Jerusalem with him; 4and assembling all the chief priests and scribes of the people, he inquired of them where the Christ was to be born. 5They told him, “In Bethlehem of Judea; for so it is written by the prophet:6`And you, O Bethlehem, in the land of Judah, are by no means least among the rulers of Judah; for from you shall come a ruler who will govern my people Israel.'” 7Then Herod summoned the wise men secretly and ascertained from them what time the star appeared;8and he sent them to Bethlehem, saying, "Go and search diligently for the child, and when you have found him bring me word, that I too may come and worship him."9When they had heard the king they went their way; and lo, the star which they had seen in the East went before them, till it came to rest over the place where the child was. 10When they saw the star, they rejoiced exceedingly with great joy; 11and going into the house they saw the child with Mary his mother, and they fell down and worshiped him. Then, opening their treasures, they offered him gifts, gold and frankincense and myrrh. 12And being warned in a dream not to return to Herod, they departed to their own country by another way.

2 Likes

Umemfikishia threshold?

@Liberty , in English please, kiswahili makes for a very hard read.

1 Like

Sorry. Edited above. Have a Good day.

Thanks, unable to attend mass today

1 Like

Praise be to the Lord.
Twaleta zawadi zetu pia

https://www.youtube.com/watch?v=HBpwt7ur0MA

1 Like

Haya let’s go to church

1 Like

Si mpeleke hizi thread Facebook.

Amen, Blessed Sunday @Liberty

1 Like

Tupatane Quinnes of Apostles Ruaraka .

1 Like

Epiphany/epifania ni nini?

3 a (1) : a usually sudden manifestation or perception of the essential nature or meaning of something (2) : an intuitive grasp of reality through something (as an event) usually simple and striking (3) : an illuminating discovery, realization, or disclosure b : a revealing scene or moment. -merriam-webster

2 Likes

light-bulb moment?

kitu kama hiyo:D

1 Like

sande sana. Before this epiphany to me sounded like matusi or some abomination

1 Like