Algeria vs Nigeria

Timu zote mbili ni kuGERIA … Najua Nigeria inaingia finally. Keep it here tusapot hawa wArab fake warudi Middle East.

Nigeria wako slow. Let’s go Naija let’s go

Time for arabs to step up.

Algeria wako consistent alaf wanacheza game smart. Hii naona ikiisha 3-0 in favour of mwArabu if hawa ma prince Oga hawaezi acha hizi jokes zao

Goal the speed is something else

Ma-oga wanagotwa. Mbaya own goal Leo JuJu haifanyi kazi.

Ndo hio namba 1, 2 to go

@Panyaste kam uone chenye ma prince Oga wanafanya hapa

Wacha walimwe Roysambu tukae na Amani.

Algeria has been the best team this whole tournament

Mzee Mwechez support mwafrika Oga oh…

Nigerians wameamua kuchezea kwa goalpost yao si ajabu wanajifunga.

Wacha walimwe Roysambu tukae na Amani.

Wee wacha hio. Nchi yako ikishindwa kutamba unasupport the next available nyeuthi…

Arab shitty player goes for RKO when humiliated.[ATTACH=full]248380[/ATTACH]

Nmegongwa kipande ile…for now nko ndani

Algeria ni fyam

Penalty Nigeria

Ma Oga wamepewa VAR penalty …

Iko