Alichosema Da Mange leo!

ALICHOSEMA DA MANGE LEO
Mangekimambi:
Kwanza kabisa sio kama najisifia but sababu ya Mwigulu kubaki kwenye baraza la mawaziri hadi leo hii mimi
tu.

Mimi nikishashikilia issue kidedea Magufuli hafanyii iweje… Na ndo maana hata issue ya Bashite nipo kimya
nikiishikia kidedea tu hata yeye haondolewi. Ila Bashite nae anamfata Mwigulu soon na yeye mwenyewe Bashit analijua hilo. Kuna kipindi Bashite alikuwa anafanya kazi akiwa chini ya ulinzi.

Na kwa posti hii niliyoandika l think nimemuongezea miezi mingine kama 6 hivi kazini 3… Na Bashite anajitia
ana akili sana yani karibia kila siku naletewa habari za ndani mnooooo kuhusu yeye kuondolewa naamini ni yeye
mwenyewe ananiletea sababu hizo information ni deep sanaaa anataka nianze kuongelea kila siku ili asiondolewe na Magu. Hanipati ng’oooo. Hata hiyo August issue yake ya kuondolewa na Magu siongelei kabisaaaa na nyie msiongeleee kabisaaa. Magufuli ni mbishi ka shipa nikisema mimi tu mtu
anaondolewa basi hamuondoi mpaka ninyamaze 2…

Hata sio Mwigulu tu hata Kinana ni mimi ndo nimefanya akabaki mpaka hiyo majuzi alivyosepa… Magufuli alikuwa
anajaribu kuniprove wrong kuhusu Kinana lakini mimi kukaa kimya tu kabwaga manyanga…Yani mimi nikishaongelea kitu Magu anadata akili zinamruka na hawezi kukifanya hiko kitu…

Jamani viongozi serikali kama unajua Magu anakaribia kukuondoa nileteeee mimi habari nikiiongelea mimi tu
huondolewi ng’ooo0.

Bado January Makamba nae. Mnakumbuka niliwapeni listi ya watu watakaondolewa kweny hilo baraza…

Nape na Mwigulu tayari. Na kingine hivi mmenotice kuwa toka niende likizo na mambo ya uzinduzi kaacha???

Sasa ngojeni nirudi August ataanza tena kuzindua upupu wake. Yani mimi nikimchambaga yule mzeee anakuwaga ka chizi EEB…

Hivi huyu Kampeni za 2020 si ndo ntamuuua kabisa maana nahisi katikati ya kampeni ataanza kuzindua Vitu.

Mwisho wa kunukuu!

Hahaha

Hahahaaa! Aisee.

hahaha

Hahahahahaaa Karibu Sana Kitaani Mwigulu,Juzi nilikuona kwenye TV upo na Muhagama lakini kila nikukuangalia naona ulikuwa umepoa sana,CONFO lilikuwa ZERo yaani ulikuwa unatetemeka,Full maneno yanapotea mpaka Muhagama anakupa Backup kumbe ulikuwa ushajua unatolewa kwenye KEKI ya TAIFA,Kwahiyo KILIMO kwanza utaisikia kwenye BOMBA,NYUMBA za Bure za Mawaziri nazo utazisikia kwenye Bomba,Perdiem nazo utazisikia kwenye BOMBA now akili ndio itakurudi kama NAPE.

Kinana!!! hahahhahaha, msukuma hana hamu, alipigwa mabao ya kutosha wakati wa kampeni

Fafanua kidogo Mkuu

Na huo ndio ukweli hasa

Ni bora umeanza kwa kumpa heshima yake…‘‘Da mange’’

Duh

Mlango ulioingilia ndio utakaotokea
Nalog off

Siku Bashite akipigwa chini itakuwa sikukuu ya taifa

Kama utani vile kwenye ndiyo message sent…

Cc: @Mahondaw

damange kasema

Mange bhana

Da mange bhana, ananikoooosha

Aise

Kasema

ni suala la kujiuiza tu atafanya kazi ipi? ni vizuri mkuu akamvumilia ili wastaafu pamoja.