Hails from Kibra number nane. After kuchafua base akahepea eastlando exile but badala ya kuchill aliendelea na maovu
[ATTACH=full]92275[/ATTACH]
[ATTACH=full]92276[/ATTACH]
[ATTACH=full]92277[/ATTACH]
The gun though:D
Shait! Wangemwachia ndom kwa mfuko
Halafu boy alikuwa anashinda na gum boots
To hide the gun I guess
is it me au the common denominator ya hawa majangili ni fangi?
Jamaa anakaa mashida mingi,kwani alikua anachukulia akina nani ??masufferer wenzake
Common aje n this is the only photo with it?
ni kama hakuwa amefika wa kucheza ligi soo…
Exile mtu huenda place atleast 300kms away na unacheza chini, hawa vijana ni kama wanadai tu kifo, it is as if they have no reason to live.
[ATTACH=full]92279[/ATTACH]
I could be wrong lakini probability that this is fangi being smoked is very high
Could they be mixing it with other things? Ju ile mi huvuta hanionyeshangi hizi vitu
100%correct.
iyo avatar yako si inafanana na yeye
Lakini sioni ukiwa tofauti sana nawao in some aspects kama irrationality
Hao maboy huenda practice ya kushoot wapi?
Na hiyo gun ni type gani looks homemade
Acha ni lie low kwa hii thread…
they are giving fangi a bad name au?
Asiyefunzwa na mamaye,atafunzwa na ulimwengu.aliyejifunza peke yake anajua risasi sio dengu.
na akili ndogo. These clowns anika themselves live live pale mukuru kwa nani