Majina ya kuchekesha ya mtaani Mombasa
Si Watu
Magodoroni
Kaa Chonjo
Kaza Ndani
Mla Leo
Mafisini
Tua Tugawe
Shika Adabu
Ndongo Kundu
Shauri Yako
Mwembe Kuku
Mwembe Legeza
Ndunga Unuse
Hayo mengine nimeyasahau mnaweza kunisaidia.
Majina ya kuchekesha ya mtaani Mombasa
Si Watu
Magodoroni
Kaa Chonjo
Kaza Ndani
Mla Leo
Mafisini
Tua Tugawe
Shika Adabu
Ndongo Kundu
Shauri Yako
Mwembe Kuku
Mwembe Legeza
Ndunga Unuse
Hayo mengine nimeyasahau mnaweza kunisaidia.
Hii place inakaa aje?
just the usual swahili houses and a few apartments coming up. only the name is strange.
Majengo Sindriya
Bakarani
Mwandoni
Kibarani
mafuriko kwa Mganga
plot mafisini ni mangapi hivi. team mafisi needs an HQ
na majina za watu…how smone can name their child chapati mashetani beats me up to now…
Mabirikani
Stage inaitwa mayai nne
Stage inaitwa punda mingi
Mchuzi mkavu.- Some brothel ilikuwa hapo Bus station a long time ago.
Kwani nlienda mombasa gani mimi. simba kapakata mtu pub. Anyone with that pic from klost
350-400k na hazina title
Msufi Mkavu at Mwembe Tayari! Malaya wenyewe walikuwa ni Wapare na Wachagga kutoka TZ!
Kidogo Basi
Toa Tugawe
Jomvu Kuu
Ngamani
Stage ya paka
ziwa la ng’ombe
Kiziwi (in Tudor)
Soko Mjinga
denyenye
kwa punda
kalahari
magongo msufini
moscow
mlango wa papa
mundeke…
jomvu madafuni.
bugubuguni…
Hiyo Mundeke iko wapi Col?
kiembeni…mbele ya star garden. maskan ingine hapo @Meria Mata anapenda kunywa… …
Hizo flats zinaharibu the feel of the town(Mombasa). Kenyans want to make everywhere look like Umoja.
hahaha really?