android gurus

Nko na sd card ya 8gb yenye nimeweka na bado phone inasema not enough space to install apps, how can i instruct it to only install apps on sd card?

@Deorro hebu saidia hapa…

What version of Android are you using?

Jelly bean

You can move appdata to sd card lakini installing apps directly to sd sidhani if you can. Ebu go to settings - storage then tafuta place imeandikwa move appdata to sd.

I tried that, but the heavy applications don’t have that option, can rooting help?

Yes rooting will definitely help. Ukitumia link2sd which perfectly does that. Pia rooting helps you uninstall bloatware which come with the phone. Which phone model is it

1 Like

^^^^ perfect answer

Pia change default location for storing images(cam) to sd

@Deorro si simuzote zinaweza … Kwanza tecno ni ngumu

Hiyo ya kuchange location ya picha ni ya kureduce space juu pics za droid huwa kubwa kubwa. Unajua uwezo wa watu financially ni different so kutakuwa na simu make tofauti. Wengine like mimi my phone doesn’t need link to sd. Ram ni 2gb, internal ni 8gb pia wengine ram ni 256mb ama lower than a gb so definitely link to sd can be of help or tips like changing location of images can help too

1 Like

@bei tuanzie haya. Whats your ram size n internal space too esp internal space size

Umenena brathee… Eeeh @bei ongea tuone tutakusaidia aje…

phone ndio hii, http://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_ace_s5830-3724.php

Boss we have the same phone… Dawa yake ni ku.root then wela link2sd … Memory yake ni kidogo sana na ikifika below 20mb ata haiees receive message…

hiyo term kuroot ni ngumu, in lay mans language ni? I am also using Galaxy ace.

Kuroot ni kutoa limitations za android system yako… Google ama wikipedia

Giving the phone root /superuser privileges

to remove bloatware :smiley: