Another Fatal Accident

A fatal accident involving an easy coach bus and a Narok line matatu between Bomet and Kaplong early this morning. All passengers in a KCH matatu dead. The bus was heading to Homa Bay. The number of accidents involving Easy Coach buses in the recent past is alarming.

Quick recovery to the victims.

1 Like

Wewe mras jua kuattach

Matatu inakaa ni kama iliundwa na zile tin za KIMBO :eek::eek::eek:

Wah, people should always learn to speak out when in a matatu…nishwai itwa sumbua once when a driver wa matatu alikuwa anaendesha watu vibaya…I was soo pissed off especially with the passengers who were just sitted there without any concern for their lives!

2 Likes

Wacha ningoje picha mzuri and reliable information kutoka kwa @Meria Mata

kii KCH naijua sana…so sad i normally use it nikienda ocha

niliona only 3dead. but hizo 10 seater matatus huendeshwa mbaya sana. uliza watu wa NorthRift ama Blueline ama Eldoret sacco shuttle kina @Mundu Mulosi gari inaenda nai bgm na 6hours na bus huwa karibu 9hrs

I have witnessed such in real life, the worst thing I was with my Dad heading to a matanga, boss since then I hate Nissans, this small cars for long distance, I wanted to post it on klist but that time klist was pulled down, but that’s the time I also confirmed everyone knows the name of Jesus, 7stiches on my eyebrows, check that[ATTACH=full]70752[/ATTACH]

2 Likes

North Rift siku hizi wameimprobe, minimum ni 8 hrs. Lakini it is scary when you look at the statistics.

pole bana

crackdowns za ntsa na speed guns zimesaidia sana otherwise hizo ‘box’ huwa tu death traps. shida sasa ni watu wa ntsa wamejua utamu wa hongo so soon tutarudi tu mahali pabaya

1 Like

Mwadhani! Unaongea kimaragoli ama nini, nanii? @introvert kuja wewe mwenyewe usitumane

4 Likes

3 dead not 14

Kuwa na utu my boss, people lost their lives,siblings,kids, parents,friends in that accident so its cold to make stupid jokes about it. Keti pale ucheze na dudu yako…Shenji.
@admin how do these fools join this site?

4 Likes

N nilijua tu,@papabingy ulitoa wapi hii story

sasa nitaanza kuenda kisii na hot air balloon

Sir God akiitisha file yako hata uwe kwa kitanda umelala unaenda

2 Likes

hehe enyewe iyo siku hata mutura inaeza kunyonga

2 Likes

Really sad

UPUS