Habari zenu wanakenya talk,Jamani mwenye kuwa na apartment maeneo ilala inahitajika,bajeti isizidi laki 2.5 mpaka laki 3 mwisho,Mwenye kuwa nayo tuwasiliane
Vuta subira tu watakuja…
Sawa ngoja tusubiri wadau
Ngoja nkutumie namba ya Child Benz
Kaulizia apartment sio bangi!
Hahaha…wadau wanasema chid benzi alikuwa anaishi kwenye apartment ilala,mwishoni akaja akaiuza
Sasa hivi akili yake ameielekeza zaidi kwenye bangi kuliko kitu chochote hivyo yeyote anayehitaji msaada wake ajielekeze huko
Chid ndo mfalme wa Ilala La familia
Watu kama nyie ndio mliofanya mpaka Jamiiforum ikafungiwa,Yaani si kwa upuuzi kama huu
Unakung’utwa wewe sio bure
Ilikuwa zamani kwa sasa ni mfalme wa bangi