Kametembeza pia kwani safcom ni malaya aje
Kweli imeheartbreak watu wengi
Fukara mwenzako aliwaanika hapa…
[ATTACH=full]36798[/ATTACH]
haha bahati mbaya kwa watu
wajanja tuko sete
tricks ni mob NA HATUONGEI
eeeh sai mimi idm tu ni kudownload
hii ni Kenya kitu hawawezi kuuzia ni moyo tu na ni juu haiwezi uzika. sku izi ukipata kitu kanyagia. consumers are soo many such that the food chain is already destroyed
Trick ya free net tumia pekee yako
Mimi ni na make startime ione channels za dstv nasibongi hehe free net my a**ss thats old tricks