Arsenal vs Liverpool Official Thread.

Arsenali leo tunakamua mtu na machungu yote. Rumour has it that mzito Sanchez ako ndani ndani.

2 Likes

Game ni saa ngapi?

Leo lazima nyoka ikamuliwe ama ikamuane

6.00

1 Like

@uwesmake swara usijaribu kuongea

6pm kenyan time

3 Likes

Tena unatag hiyo nyang’au na hiyo kiherehere yake utaiona hapa sahii.

3 Likes

Saa hii hauwezi kuiona hapa, iko katikati ya mapaja ya momo.

4 Likes

Let’s wait. Hapa naona draw

hii ninaona Liverpool waki wasumbua.

Arsenali wakishindwa leo Wenger atembeze kiatu.

2 Likes

Link?

haya iyo gg ikuom

Nsha stake. Kwa wale wanajua 2nd HSH odd ni 2 weka rent na utacheka after second 45 minutes

Ha ha, hii ka uniform ya Arsenal kako down, kwani ni half overalls?

Huyu wenger naye nini inamsumbua anawacha Lacazette bench anaanzisha welbeck mauzo.

Hapo kwa ‘uniform’ fits you perfectly. Keep it up…

Pace papaa…

NGITEEEEE! Firmino amezoea Cech sasa…

1 Like

Whatever… kituuuuuuuuu iko ndani.

ai kale kateam ka europa hakana bahati.