arsenali tunauwa nyoka

Uncle Wenger ako ngangari pale Emirates hata kama mtu wake amwibiwa kura wacha ajiconsole na hii mechi

Arsenal 2 - Leicester chieth 0

Lacazette anafunga bao mbili

1 Like

2 goals in less than opening 5 mnts, hii itakuwa Kali. Lakini hapo kwa lacazette hujakosea. Endelea kukaza brasa.

1 Like

Niko ngangari na Wenger

Niaje Swara

1 Like

Wenger out:D:D:D

1 Like

swara, meeffi blali fwaking, my 2k imekunywa maji

1 Like

Hii nyoka nikama imehakiwa

1 Like

#wengerout

1 Like

Niaje Swara, naona umeendeleza mahali uliachia, chieth!

1 Like

nakuona pale fantacy league, my other handle ilikua equater

1 Like

Ozil bloody nugu.Wenger uza hio mzembe

Manze nini inakuwanga mbaya na hii team ya wenger game ya kwanza? Sasa nacheki Oxlade ako right back na Hector left back, Kolasinac mid hii mambo gani?

1 Like

Ramsey scored… @uwesmake dies

1 Like

Hii ilikuwa kuponea jo

1 Like

:D:D:D

Wenger ni ndugu ya heart attack na imagine ilikuwa team ya chida but isorait

WENGER FOR LIFE

1 Like

Defence iko chini sana, kwanza that header that Vardy scored, it was too easy.