Arteta's boys wanarushia nyoka ballistic mesiles

naskia Gabriel na Saka wanamalisa Sevilla, wamekua wakisumbua English teams recently sasa wacha tutoe tutorials on how to ferck a stubborn Spaniarda to our compatriots…

@uwesmake team Iko sawa. Man u fans wameanza kujionea

Arsenali team kubwa. Tunachukua ligi na si tafasali :D:D

ii dynasty ya Arteta itakamata epl na CL for sure…

Team ni msoori

Arsenal inebarikiwa

Some players still need to go, so that Arteta can add more quality to the squad

Nuno Tavarez loaned to Marseille + Zinchenko in, tuko ngangare!!

Huyu Jesus tukiekea yeye Van Dijk hakuna kitu anaeza fanya… Ata ku turn tu pekee

Pigeni kelele wacha jesus Iscariot apate injury. Mtakuwa mkilia kama wale malaya wa luthuli wakati wa covid ati kumekauka.

maumbwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa :D:D:D:D