[ATTACH=full]177252[/ATTACH][ATTACH=full]177252[/ATTACH]
Nimekusoma kaka! Ya ugenini yanatia moyo
Hapana jirani
Huwa siwaelewi wanawake especially hawa mabinti wa kisasa, yani wao kila wakiweka pambo lolote jipya mwili wao lazima watatafuta namna tu ya kuwaonesha wanaume.
Sababu ni simple, wanataka kupigwa kende
Slay Queens ndo style yao
Kwa sasa
We nawe unaachaje kumjua mchawi mkuu wa JF na mfanyakazi mstaafu wa mochware… ??
Aiseee
Aiseee
Kwa nini amekuja na jina LA kimalkia?! Halafu wewe ni yule x mchepuko wangu au ni naniii
Hahahaha LOL
Slayqueen huyo na muondoko wa madoido haha
Nakuchekesha eeehhh
Sasa mkuu kipi hapo huelewi.??
Nashangaa pia
Wewe Sakayo wewe hujambo?
Usijifanye hautuelewi wkt sisi tumeumbiwa nyinyi…tumeumbwa kwa ajir yenu
Mimi sijambo kabisaaa, vipi wewe hujambo???
Simpati dogo, vipi kwema???
Sijambo pia mpendwa…
Bhana wewe nini hapa hadharani? Ila sio kwema sana