Away Matches.. No No No!!

Aiseh jana ilikuwa birthday yangu sasa shida ikawa weekend I had imbibed too much singeenda kujitibu tena plus it was a Monday … Long story short met na slay queen flani tukaenda kwake… Once she heard its my birthday treatment ikazidi… Banged the woman… Usiku kitu 2am nasikia ninja inagonga Mlango na fujo mentioning the Kunguru’s name … Slay queen akanyamaza hadi ninja ikachoka ikaenda… I swear I stayed up till morning… Didn’t touch the Kunguru again. On the break of dawn nmetoka huko mbio kama swara

Worse is she didn’t say who the guy was (sio ati ni kama nilitaka kujua:D)

Nmeona hekaya kadhaa za watu kushikwa wakiwa away matches but jana itakuwa I survived… and Learnt my lesson
Siendi kwa kunguru tena!

Tutasema mara ngapi nyumba ambayo hauilipii rent wacha kupeleka kende huko

pengine jamaa ilienda kuandika suicide note na kuji-left-isha

Hahaha… Boy child under siege

Hii mara nmetii

Watu hukufa hivyo. People do stupid things when angry; their remorse won’t reverse the damage

mimi nilikam saa nane,a house that you don’t pay rent…hapa kizungu imenichenga sijui nimalizie aje

#Puthy sio Supu

#Fact

Kenyan kungurus will be the death of the boychild

Na usilipe rent nyumba ambayo hauishi.

:D:D:D:D:D:D:D:D

Spoken like an elder… This one deserves a thread

it was me. uko na bahati sana coz saa hii haungekuwa na merkende

t

Siku hizi madem Ni moto Wa kuotea far. Unapata dem anaishi Thindigua na boy wake, akina jamaa ingine ( Co-worker) Na sponsor flani mzae. Wote wanalipa rent. Co-worker Na sponsor wanaambiwa “oooh I live with my parents, oooh I live with my siblings, oooh I live in a girls hostel” after kitu 5 yrs dem ako Na business kubwa Na anabuy nyumba . BoyShaild tunamashida.

mimi sigwesi lipia coomer rent

Haha… Mball-less

Shida za away match ndo hizi hapa…

Hahaha… Jamaa atatolewa rectum :D:D:D

[ATTACH=full]168781[/ATTACH]