Baadhi ya Watu mna vituko mno na mawazo mgando

Nimeshangazwa na kitendo cha watu wengi kudhani kwamba JF imefungiwa kwa sababu eti ya mambo yaliyokua yanapostiwa hususani yanayohusu siasa…
people mjifunze kuelewa viitu vinayoendelea kwenye nchi zenu kwa kina kabla ya kulalamika…

jf imefungiwa sababu haijakidhi mashart mapya yanayowekwa na TCRA, kama vipi walipie leseni waendelee kufanya kazi, sio longolongo zingine

Kama wanawake wote wangekuwa na mawazo ya kipumbafu kama wewe, walahi nisingeoa

Naona mnakuja sasa

sasa kwa mfano wewe nae unajiona mwanaume wa kuoa, hata mm pia nisinge, acha ushabiki maandazi

yep kama ulivofanya wewe blaza

Sawa karibu

Waambie na akina jingalao waje

watakuja tu wasubirie,lol

Mamaeeeee zako.Wadhani sisi wajinga kiasi hicho?

Kwanza JF Haijafungiwa, wameifunga wenyewe kwa manufaa yetu, rudi lumumba ukakojoe ulale

Masharti gani hawajatimiza??..yataje hapa tuyajue,sio unakurupuka tu

Masharti yenyewe lengo lake ni kuwaminya watu wasiikosoe serikali

quma yako

Yaani watu mpaka sahizi mnashindwa kuelewa chanzo cha kuja na hizo Sheria ni kwasababu ya Mijadala ya jamiiforums ambayo jiwe halipendi?

Sheria zimetungwa ziliilenga Jamiiforums , hizo blogs zingine ni kama sababu.

umeamua kujitoa ufahamu sio?? unadhani hizo sheria zimeletwa kwa sababu gani??

Utakuwa malaya wa Kariakoo selling your smelling and dirty v*gina

wanatakiwa wafate vipengele vya sheria iliyowekwa kwa watumiaji wote wa blogs na vitu ka hizo, walipie na wakate leseni ndipo wawe hewani… hapo tatizo liko wapi kwann mtu usifate masharti kama yanavyowekwa ukaendelea na kazi zako kama kawaida.

eh manake we ndo unanunuaga wenye wana smell na wenye dirty virg kama bibi zako kijijini

hata hivyo we unaumizwa na nini na K sio mali yako… maandazi wewe

kakojoe wewe na wenzako mnaotumia neno kufungiwa… btw nimelitumia sababu kila mtu anasema wamefungiwa…