Wadau jamaa kapotea humu kitambo.zama hizi kila jambo sio la kupuuuza.bak1 where are you?
Hakika. Atujuze aliko. Maana hata kule JF ya nyumbani wanamuulizia
Duh mbona hatari
Twafa! Ila tusinyamaze katu!
Last saturday was the last time he posted something but he is safe and sound!
BAK1, kuja pande hizi wadau wanakuulizia…
Tayari
Atakuja kama yuko salama popote alipo
Majukumu nayo yanachangia mtu kuadimika sana
Mkuu if it’s true what you said.glory be to the Lord
Noted mkuu.maana zama hizi za kuwindana kama digidigi mashaka hayakosi kuwepo
kutishana tuuuu…!!!
Mbona hajitokezi kututoa wasiwasi? Ninahisi Bashite ameshakula kichwa
Bashite ndiyo nani…??? ‘ameshakula kichwa’'…!!! una matatizo sana…mbona unahisi vibaya kila siku Ufipa utakuponza wewe…!!! Punguza Sononi…!!!
Bak1 come back bro
Kuna Mijitu humu kila anayeadimika wanafikiri mabaya tu sijui ni wahalifuuu…??? na ole wao…
To a usenge wako hapa nyambaf!
Kuna siku nitakutaka uthibitishe Maneno yako hayo na utaiona Dunia Mzima upo pekee…
Mtu mzima hatishiwi nyau.