Bandari ya tz chaka la kutafutia kiki.

Tangu awamu ya tano chini ya JIWE iingie madarakani,imeamua kuitumia badari ya dar es salam kama eneo mkakati la kujipatia KIKI.

Alianze mwenye JIWE kwa ziara mfurulizo,mara kukamata magar,mara scanner.akaingia majaliwa na makamera kibaoo nae akaibuka na mita za kupima ujazo wa mafuta.juzijuzi ninja nae kaibukia huko huko na swala la mbwa.

Swali ni je?,kwani pamoja na ziara zote hizo zinazo itwa za kushitukiza bado mambo ni yaleyale.

Wanatafuta media stunt! Hakuna lolote. Wajinga

Wanachosha sana aiseee.kila kukicha na makamera bandalini na bahatimbaya hawendi kwa lengo la kuondoa tatizo bali kiki tuu.

Leo hii lugola hataki tena kuulizwa juu ya mbwa alie dai ametoweka

Eti! Hataki kuulizwa nini tena?

Kuhusu dog aliyetoweka bandarini.ati bado wanafanya uchunguzi.kama aliyahua hayo kimbelembelee kwa IGP kilikua cha nini?

Hawa jamaa zetu wananikumbusha msemo wa mwalimu wangu mmoja (Mwalimu Fakhi - mtu yeyote of a certain age aliewahi kuishi Tabora mjini ama anamfahamu au alishamsikia): “usivuke barabara kabla ya kuangalia kushoto na kulia kwako”. Hii ilikuwa metaphor ya kuwa “usitende jambo kabla hujaliwazia”

Awamu hii inataka isikike yenyewe tu muda wote likitoka tukio moja linafata jingine tabu tupu kibaya zaidi wanataka wasifiwe tu hawataki kukosolewa hata kidogo wanataka mapambio ya kuwasifia tu.

Ishara zote zaonyesha kuwa wame fail katika kila eneo kilichobaki ni kutapatapa tuu.

Mkuu ile bandari ni maajabu ya Saba ya dunia. Vichwa vya train huokotwa kule

Bandari ambayo unaweza kujiokotea vichwa vya train.

Hahahahahaaaa.

Alicholiibua limekuwa chungu tena…

Political stunt hizo…

Cc: @Mahondaw