Bangi iwe huru

One suspect arrested, bhang worth Sh. 10m seized at Kirwiro village in Nyaki West, Meru County.
@Mworia Wameru hebu log in kaa sio wewe
[ATTACH=full]209053[/ATTACH]

By the way is anybody wondering whether hii fangi inapelekangwa wapi after case sentencing is over and the poor chap jailed? Not rumuors but something concrete

Inapelekewa watoto wa watu vile shule zimefungwa. Mungu aonekanie nchi hii.

Someone sold him out. Huwezi sema ati ni police investigations.

Umesikia kitu kinaitwa multi-agency?

poor fellow, just when it was ready for the market

Multi agency snitching?

poor fellow, just when it was ready for the market

Kitu kama hiyo.

Marijuana should be legalized. Most developed countries have already done it!

sasa nani atapea ngombe chakula kwa hio boma

wacha ngombe, hata bibi atachungiwa.

Hiyo multi agency…there must be one in that home,

[ATTACH=full]209075[/ATTACH]

Funny that they never impound the seeds only the final product. Haki ya mungu hawa watu wamezoea mbaya, mungu anawaona…Iwe huru.

What a waste

Time for the ‘rats’ to eat 90% of it ikiwa ‘in storage’

Niaje mzae, kuna swali nimekuuliza kuhusu chai kwa thread ingine naomba ujibu

yeah, sorry, i remember seeing it wacha nitafute…

Asanda