Bayern vs PSG

Admin hautambui UEFA ???
Neymar lazima afunge…

Prediction ya game ni GG

Bayern 1- PSG 0 22:49

GG na si tafadhali…hehe

Watching

bayern vs psg.
Man u vs cska
Chelsea vs atletico

Like a boss.

Na neymar atafanya watu wakuwe 10 men

Wait a minute! Am I a sponsor? @admin kuja apa na mods wako wote mniambie mtakunywa nini?

Refa si mfair sana kwa game ya bayern psg…

Game ya Barcelona na Lisbon naona wako 0-0 lakini uwanja iko empty…

Tolisso ame fungia Bayern bao lingine

Bayern 2:0 nliambia watu leo psg itakojoa

wewe na ule injinia mlipewa kwa kua mmeishi miaka mingi uku mkipost meffi

congrats though

Kwanza pea admin migwa ya thate.

[SIZE=5]Nlijua tu man u itatoboka. Laxity in defence [/SIZE]

Evidence iko wapi ukiwambia

Sio hapa kijijini. But bado game ii mbali

Kumbe washa funguka already[ATTACH=full]143122[/ATTACH]

Eshimu mzito @Eng’iti

GG ime tii!!! 2-1

Iyo ya mbappe nayo keeper hayuko serious bana

Chelsea bana iyo gg ikamu. 0-1

Madrid has the lowest conceded goals in laliga. Chelsea will be lucky to get one past them.

Lukakuuuuuu! Bao tamu sana

Rashford!!! In less than 60 secs