Beautiful Onyinye afanyiwa gastric bypass

Hakuna jukwaa la celebrity inabidi niiweke hapa. Our Tanzania sweetheart alikuwa India akifanyiwa operation ya kupunguza tumbo ili ale chakula kidogo tu na matokeo yake apunguze unene.

Operation hiyo ilifanyika bila gharama kwa makubaliano ya Miss Tanzania 2006 kuitangaza hospitali hiyo.

Celebrate wangine waliowahi kufanyiwa operation kama hiyo ni Hassan Hassanali. Si muda mrefu madame atakuwa size 10.

Hakuna picha…

Mi simjui weka picha yake pls…

Njia ya stress imeshindwa kumkondesha hongera zake

niaje mkuu, mbona umesahau kuweka Cc: mahondaw

Nishamtua ajiunge ndiyo naanza kum cc sasa…

Cc: @Mahondaw

Sante sana smart wangu jamani ila Ile password ni ngumu sana love ntaibadilisha…

Habari bila picha vipi

khakhakhaaaaaaa…ananiachaje mbali weeh!!

cc @Smart911

niaedit vipi ili niweke picha?

https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/05/wema-sepetu-7.jpg