[SIZE=6]VETERAN POLITICIAN Kenneth Matiba to get Sh978 million and not Sh504 million as compensation, after error in the Jubilee government calculation was discovered.
Matiba ni mzee but very sharp, ameshika the thieves in Jubilee government wakiwa flat-footed.
7 years ago and that would really have really helped, he wouldn’t have lost Hilcrest (55 acres and all the infrastructure went for 620M only ) among other properties
Nazidi kusema huu ni upus. Hao watu wote walipapaswa makei huko Nyayo House wakitumia hii case kama precedent, sisi ndio tutawalipa hizo billions zote? Kama ni personal account ya Moi inanyofolewa ingekua sawa, lakini mimi kama mlipa ushuru sijawai papasa makende ya mwanaume mwingine, mbona nimlipe? Upus of the highest order.
He was paid by Lenaola. I think it’s fishy knowing he is a mkora judge. See for example his threat to sue Itumbi begins with how much money he’ll be expecting. I’m sure there exists a deal for him to have a good amount of that cash.