BILA KUMUNG"UNYA MANENO, RUSSIA WATACHUKUA WORLDCUP 2018

[ATTACH=full]177902[/ATTACH]

Acha kuroga, achukue kwa mpira gani alio nao?

Hadi sasa kuna ramli mbili,wa kwanza kasema belgium,wewe russia,next sijui kitatajwa kikosi gan

:D:D:D

Spain

Russia wakiendelea na kasi yao niliyoiiona jana watafika mbali endapo itaambatana na kuziona nyavu za timu pinzani.

Ila bado sijaona mpira wa Spain, France, Belgium, Uruguay(nitaenda bandani soon) ili niweze kukomenti zaidi juu ya nani anawezaz kuwa kinara

leo hyo Ronaldo sio wa mchezo mchezoooi

Mi kura yangu nasubiri 16 bora

Ila ni kweli, hiyo hatua mambo huwa yanabadilika sana

uruguay unga unga mwana kama ureno tu

Usione Simba kalowana ukadhani ni Paka

Wanaendelea kusonga mbele tu

Ureno wachezaji wanapoteana sana na wanapoteza mipira kizembe

labda World Cup ya Whisky

Belgium na Uruguay .
Germany bado nampa nafasi pia

Sidhani

Muda utazungumza

Sawa ngoja nitandike mkeka

Weka godoro kabisa hahahhaaaaa

Mkeka ndio habari ya mjini