Poor bastard alipelekana date but just see how hard the mbish is trying kumtoa kwa picha. Tulikosea nani jameni.
[ATTACH=full]238536[/ATTACH]
[ATTACH=full]238544[/ATTACH]
Seriously @Baby Panay tuwache kufikiria kama haka kamvua kananyesha katatosha mahindi tuanze kufikiria juu ya u socialite?
Baby Panya umekosa kazi?