One day my wife complained that her bra was missing. I told her maybe it fell off the hanging ropes due wind but she objected. She could not see the pegs either…and according to her venye alikuwa ameanika nguo zake,ni hiyo tu moja ilikosa. She even asked the care taker who said he will do his own investigation. A week latter my wife spots the bra kwa balcony of a woman who stays directly above us ikiwa imeanikwa na ma ngotha za huyo single mother on Sunday. Her come daily mboch doesnt come on Sunday…na hiyo bra iliibiwa on a Sunday. Huyu ni mwizi na ilhali anafanya job poa Kengen. Hata afadhali singejua hizo mambo lakini huwa nakaa namwangalia nashindwa hata niseme nini. Care taker alisema watu kadhaa wame complain tu nguo kidogo hupotea. Mimi na wife ndio tunajua huyu ndiye mwizi na wakati huo anadesha fielder. Kumbe anavaa ngotha za watu. So bored.
Maybe she is a lesbian with cloth fetish…chunga asije ka DFMKM wife
Someone stealing those kind of things huwa namuogopa sana. Maybe she is looking for a strand of pubic hair za watu
Ama upate ameclone wife yako alafu akupatie ile copy ‘jackie chan’
Anika ngotha zako uone kaa ataziiba…
Story ya dem kuniuliza mambo za bra zake siwes skia. Ati mpaka unaenda kuuliza caretaker? Kukaliwa chapati ni Nini lakini
Picha ya BRA…na yake akiendesha fielder kama amevaa ngotha ya wenyewe…
Ambiya wife wako anyowe, problem solved
Where did I say I told the caretaker? No wonder you dont know where your money goes.
Good pilot study. Might help with diagnosis of the kengen woman.
Another theory, labda kengen lady got a similar bra. Ama mrs anatumia Victoria Secrets?
Where is this? I know a woman who fits that description.
Kwani hiyo mtaa kila ngotha na bra ni same type? Scent? Tafakari hayo.
Kwani huyo wife yako ako na bra moja tu kama yule jamaa wa kiatu?
He doesnt wash his…he smells them (hapo katikati) clean. (Internet does not forget)
Ukiwa Mombasani you don’t take such things easily.
Hehehehe. Next utajipata juu ya mnazi near Tudor creek
Vomit