breakfast

[ATTACH=full]1735[/ATTACH]

Hizo kachumbari zinaeza kupatia food poisoning mbio sana.

I take cereals for breakfast yetmtu akiniulizia how am fairing on namjibu “ni kujaribu tu. Uchumi mbaya lakini kujaribu tu.” sawa wewe ukiulizwa utajibu aje?

2 Likes

Tumbo ya kayole haiwes pata poisoning hata imeze cyanide

1 Like

NGOJEA KUHARA SASA

cereals or just a fruit…and u gud to go

Ile siku utapata bacteria juu ya hio kachumbari utasema pamba alikukataza last year karibu nisalimie baba mbinguni.

Naumia … serikal saidia … :smiley:

ujue mahindi choma ni cereal pia…na njugu karanga pia…na zote huliwa asubui pia…so labda mko lane moja.

1 Like

Stay away from samosa even in five star hotel.

haha ma-hater

samosa za sanford/santona hua sawa, kila siku mbili

Hiyo kachumbari ndio mezesha. Nyama huliwa hata ya wiki mbili.

Be specific. Which cereals? Ndengu za last night? Githeri? Njugu karanga?

Ondelo