Breaking! Building at roysa behind trmcollapses

[ATTACH=full]2900[/ATTACH]
[ATTACH=full]2901[/ATTACH]

Hii ndiyo mijengo ya akina jasusi

Halafu hizo ndizo watu wanakimbilia kulipa 30K rent

The pillars are thin kama miguu za mtu najua…na sijasema ni @Supu don

@mbomb,They are called concrete columns not pillars

i have missed you too twinkle toes @MBOMB …miguu zangu ni za mkale…:slight_smile:

1 Like

Thanks for the correction. @Wakanyama

reinforced concrete column

I wanted your attention…now i got it.

watu wameiba mabilioni, uende chuo ama hustle(quarry+wale walimu) unauawa keja sasa ndo unazikwa vizuru…hii kenya iuzwe kila mtu tupewe share zetu tujisort!

2 Likes

https://pbs.twimg.com/media/CBk5FXIUMAIjkFI.jpg:large https://pbs.twimg.com/media/CBk_QESWgAEtVAO.jpg

hio gari naskia ni ya rand lord

kama ni ya land lord the better hiyo forester ina kaa fiti sana

…or RC column.

Tofauti ya reinforced concrete column na RC column ni nini @ Aviator?

This is what happens when you use the structural engineer for approval purposes only then you use fundis for supervision. This rarely happens when you use a qualified strucral engineer for supervision puposes and they only ask for utmost 2.5% of the contract amount. The developer should be locked up for cutting corners.

1 Like

https://pbs.twimg.com/media/CBlEyyhUoAAASa1.jpg

Hili funzo for taking shortcuts…i learnet my lesson back 2003 vile my first mjengo huko sides za rongai caved in

One is abbreviated. The other isn’t.

1 Like

Wonders will never cease, Wankernyama knows something about construction?