breaking news.....

mafans wa gor mahia wamechoma gari ya kanjo near kencom and a nearby car was also redused to a shell

[ATTACH=full]11895[/ATTACH]

as a senior villager you know the rules

kwenda leta picha

[ATTACH=full]11901[/ATTACH]

5 Likes

Madimoni zimekuja kwa kijiji full throttle leo.

1 Like

simu inge enda kaa ningetoa

hapo mtanisamehe kidogo

1 Like

[ATTACH=full]11896[/ATTACH] [ATTACH=full]11897[/ATTACH] [ATTACH=full]11898[/ATTACH]

kwani game iliendaje I thought walishinda?

[ATTACH=full]11902[/ATTACH]

1 Like

[ATTACH=full]11903[/ATTACH]

1 Like

Mali yetu! (waving an imaginary twig)

1 Like

watu wa mbishaa mlikua mumengojea mtu alete hekaya mtoe meme zenyu…pics ndo hizo…apparently the kanjo vehicle knocked n killed two of their fans

They should have burned the driver, not the vehicle.

Haiya! What is the dere turns out to be your rela?

The tourists in Hilton must be going out of their minds.

Yenyewe ujaluo imepita kuwa garama ,ni hasara!

6 Likes

and they wonder why they don’t get shirt sponsors

1 Like

Hata kama. Ako na makosa mbili:

  1. Working in kanjo whose work is to harass wananchi and extort bribes, yaani kazi ya laana.
  2. Running over a person.
2 Likes

That appears to be more than 1 vehicle… what about that saloon car that seems to be on fire in the first pic?

Wacha hizo bana.

2 Likes