Btw water vendors

Kwani maji ndio haina uchungu kama mafuta.every water lorry has to pee al thru its journey.kwanini ata honey suckers huwa hazimwagi.alafu hapa globe na place zingine magari za gava huchota maji ni borehole zao ama ni za nani?na ninashikisha 4 ua in4

[SIZE=5]Kwani maji ndio haina uchungu kama mafuta[/SIZE].
Mafuta ina laliya mattress ndani ya tanker na ya maji ina laliya chuma pekee so jua ile uchungu inasikia kwa tanker

[SIZE=5]every water lorry has to pee al thru its journey[/SIZE]
Tanker za mafuta ziko na diapers na tanker za maji ziko commando

.[SIZE=5]kwanini ata honey suckers huwa hazimwagi[/SIZE].
Hizi tankers haziwezi mbao so kumwaga Ni ngori

[SIZE=5]alafu hapa globe na place zingine magari za gava huchota maji ni borehole zao ama ni za nani?[/SIZE]
Enda ulize hio river inapita hapo globe nasikia hio borehole Ni lastborn yake

[SIZE=6]na ninashikisha 4 ua in4[/SIZE]

The last two answers sijaridhika.unataka kuniambia hio maji watu hukunywa ni ya nairobi river?bt i like the way u thinkin