But why Joho?

Embarrassing the president like that,what! Uhunye didn’t see that punch coming. It was lights out n goodnight even before he hit the canvas…

5 Likes

S.V kama utatoa story bila quotes, video or picture. Tembeza mkundu kwa mateja kule mombasani

usitunukie hapa wewe mama

25 Likes

Hehehe relax. nilijua lazma uta catch ma feelings. That’s no my problem at all. Uhuru ni mshenzi sana.

5 Likes

Lakini si ni macho nyanya who threw the first punch ama?

https://www.youtube.com/watch?v=CYLxpYhot3s

7 Likes

:D:D:D
Ujinga ni kipawa kweli

Umeongea kitu ya kwanza ya maana hii mwaka. Lazma nikunywe tusker mbili baridi juu ya hio maneno

4 Likes

Joho is not taking any hostages.

i saw nothing hapo.kufungua mradi does not mean jubilee funded it jameni.Prezzo is a cut above the rest who can visit any county at will.

Joho atamalizwa kisiasa.Milango ya pesa itafungwa.Tungoje tuone.Interesting times ahead.

1 Like

KUDANDIA MIRADI#MOMBASA
UKWELI WA MRADI MWENGINE UMEJITOKEZA
JOHO ameonekana kwa video akiwa amekasirika sana kuwa ukweli umejitokeza na kwa kuwa watu hawatadanganyika.
Mombasa Storm Water Drainage Improvement Project Phase 2 in Bamburi.
MRADI WA MITARO YA KUPITISHA MAJI YA MVUA
KUMBE NI WA JUBILEE GOVERNMENT , wala sio wa county government. Raisi akionekana hapa kufungua awamu ya pili ya mradi huo.

1 Like

Dream on bro

2 Likes

I thought kuchunga wanainchi bila pombe was yur new years resolution?

Joho tried his best to piss on the Jubilee bonfire but he ran out of liquid pretty fast…:D:D:D:D

The Governor, who has severely criticised Jubilee, praised the President for launching projects but asked him to list those they have managed from the group up, for the benefit of the people of Mombasa.

http://www.the-star.co.ke/news/2017/01/05/video-joho-lectures-uhuru-on-hijacking-mombasa-projects_c1482853

presdend msima anakulwa sweepakiona na hakuna kenye anaweza fanya :eek::eek::eek:

https://www.youtube.com/watch?v=h6r9vipTEvk

3 Likes

[ATTACH=full]76652[/ATTACH] [ATTACH=full]76653[/ATTACH]

It’s not called jasho jembamba for nothing.

That Mradi was his in the first place so…

kumbuka niliwahi A- skuli …wewe ulibahatika D+ …ile siku utakaribia hapo pangu …mimi nitakuwa nimepita PhD, tena juzi

Kwa hivyo, haya ya kunidhalalisha ni wivu unaopatikana tu kwa wanawake.

Nakuona wewe panya, anayeuma huku akipulizia pumzi baridi

Damn Joho.

Pia Uhunye alichapa Joho sweep

[ATTACH=full]76670[/ATTACH]
@Deorro when will you enable embedding of tweets?