Hamjambo wadau wa kijiji hiki? Nimenuwia kununua kipatakilishi chenye muundo wa Kichina. Mashine yenyewe ni Yepo 737s 4 GB/64GB. Maswali yangu ni je:
Yuko mdau yeyote hapa kijijini ashawahi kununua kitu kwenye mtandao wa Jumia?
naombeni maoni hebu kuhusu machine hii
Picha ndo hizi hapa chini[ATTACH=full]120320[/ATTACH] [ATTACH=full]120321[/ATTACH] [ATTACH=full]120321[/ATTACH] [ATTACH=full]120321[/ATTACH] [ATTACH=full]120320[/ATTACH] [ATTACH=full]120321[/ATTACH]
If you are asking about their services, I once ordered a product which they delivered. They charged me for delivering out of Nairobi (I am in Thika). Shock on me, I must pick from their collection point. In short I was better off buying the damn product in Thika or even Nairobi. Bure kabisa.
Jameni unakiswahili kizuri .lakini jumia siiamini vile watu wenye wamenunua kutoka huko hawajapeana reviews mzuri .[SIZE=2]Reviews ni nini na swa[/SIZE]
Nashukuru kwa maoni yako. Mi ni mkaazi wa kaunti nambari 006 na tumezoea kuongea Kiswahili. Ila hilo sio swala husika hapa. Nitaepua epua mitandao nisome hizi ‘reviews’
I have seen this yepo first hand.
The 2/32 GB one. veeeery slick. resembles a MacBook air but chini pekee ndio aluminium, the rest ni plastic.
haina movable parts (fan /hard drive) so it’s completely silent.
The bad part is it’s repairability. ukifungua ndani, unapata motherboard kadogo size ya infinix,woofers na battery pekee.
Did you expect free delivery ?
Bought a phone in 2013 and still fine .Go for it , they have service centre at Cardinal Otunga house.kindly ask for their terms .
Mwandani mie naitwa @syndicate , nauza hizi bithaa kwa wingi sana. Laptop, TVs, Home theater na kathalika. Pia mimi hufanyia mtu free delivari hadi mastakimu humu Nairobi. Lakini kama mteja akiwa nje la jiji kuu basi tuna gawana garama ya nauli.
Sema nami mdau mwenza
@LeoK u should have contacted me for any electronic and other type of assets. I deliver free of charge. And my products are always fare than jumia.
Talk to me, i never disappoint in business
My friend @Villain next time you need any electronic or other type of products just contact me, i will always furnish you at discounted price.
I have a good reputation around here.
I have heard guys complain about the products they advertise and what they deliver. I would recommend buying from avechi. They have fair prices so far compared yo jumia and kilimall.
They send same product within 24hrs and of course you will pay a small delivery fee.