Uwezo wa huyu mbwa kukariri na kuimba asichokijua naufananisha na wa jamaa yetu aliyekaririshwa kuhusu trilioni 1.5 akaibuka na freestyle yake…#Sijamtaja_mtu
[MEDIA=facebook]1503555163089916[/MEDIA]
Uwezo wa huyu mbwa kukariri na kuimba asichokijua naufananisha na wa jamaa yetu aliyekaririshwa kuhusu trilioni 1.5 akaibuka na freestyle yake…#Sijamtaja_mtu
[MEDIA=facebook]1503555163089916[/MEDIA]
Ccm ni dude linaloflash akili za walishabikiao au wale wanaolitumikia, huwezi kuwa ccm ukawa na fikra huru kamwe
Watoto wa mjini tunasema… Hatariiii
Wakishapewa ulaji akili uwa wanazikabidhi magogoni
mr. slowslow