Chakubanga ni nani?

Nimeona sana hili neno likitawala majukwaa mbalimbali. Ninani huyu Chakubanga?

Huyo ni mwenezi wa chama cha magamba, ndugu polepole

Hahahaaa, kumbee! M nilijua ni Chakubanga yule wa kina Chupaki, Polo, Bushiri na Mama Chupaki

Hapana mkuu, kwenye siasa za bongo chakubanga ni slowslow a.k.a mtaalamu wa hesabu za 1.5 trillion

@Eli-91 nakupa kongole kwa kuwasaidia wenzetu wasio ufahamu kuhusu chakubanga.

Hahahaa, wabongo wanajua kutoa identifications kwa kila aina ya watu kutokana na matendo yao

Wabongo kwa Nahau na Misemo hatujambo!!

[ATTACH=full]176831[/ATTACH]

Dah! Madini haya sijui umeyafukua wapi mkuu!

Bahati mbaya sana hivi vibonzo vilikuwa kwenye gazeti la Uhuru ambalo kwa sasa hata kulisoma imekuwa ni kichefuchefu!!

Wakati huo ndio lilikua gazeti pekee ambalo lilikua linatumika kutoa muelekeo wa siasa za nchi na kupasha watu habari zilizoharirirwa na kudhibitiwa na chama

mwenda pole pole

hahahaha mtaalamu wa 1.5 trillion shilingi nimecheka sana long live JF

Maktaba yangu nayo si haba

Hahahaaaa, upo vizuri sana mkuu, umenikumbusha mbali sana

Ndio hivyo mkuu, haya madini yote source ni JF, nikiliona nalitunza maktaba for future use

Safi sana kiongozi

hahahaaa, aisee kazi ipo

Ni mzee wa 1.5tr hazijaiva…au mzee wa magazijuto ya 1.5tr

Kipindi hicho mwenge ni tukio muhimu unaliweka kwenye kalenda kabisa. Enzi hizo watu wazima walikuwa wanadate na wanawake wakutanie kwenye sherehe za mwenge. Hili gazeti ndio baadhi ya vyombo vya habari vilivyoweka msingi wa nidhamu za unafiki na woga ndani ya hii nchi