Changaa sacco

[ATTACH=full]183453[/ATTACH]

Warefi moja aniambie; kwani popov ina nini juu jana nilinunulia interns wangu mzinga nikawaacha leo hakuna yule alikuja job?

Hio glass imekunywa chang’aa siku mingi mpaka label imefutika

Hehehe hio kitu apana kama wao ni amateurs wa kunywa hio ilikuwa kuwaweka kwa major league they will definitely drawn

He he he. Tulitoka field kukula late lunch after thanking them for a job well done one asked for chupa moja moja. I asked them sasa chupa moja moja mtafeel anything si afadhali makali. Wakasema sawa.

Veve iko wapi.

You bought them chupa moja moja ya 750Ml? You must have had bad intentions.

Hahahaha Hapa nakubaliana na ww ananunulia watu popov na wao ni manovice bado…haikose kwa hao interns kuna puthy saaa ndio inawindwa hivi

Watu wa juice wakae wapi cc @mekanikamulephiltd:D:D:D…

Shait…
Nimewacha juis.

what the fuck

hio yuici itakuwa tamu sana,kwanza hio harufu coomer itakupea hard on before the major game.

Nawakilisha mos mos

[ATTACH=full]183483[/ATTACH]

Then hii mifupa, sijui kama ni wa mchele ama muuzaji

[ATTACH=full]183482[/ATTACH]

Best served hot ati ni lemon juice sasa :D:D

Saitani!!! Hibilisi!!!

Oh shait!!