mtu arecomend baze cheap tao baze mizinga haijafika 3500 but classy
Cheap and classy cannot conveniently sit in one sentence.
Stick to your ka local. Wacha kutusumbua
taja classy basi na cheap kando kando
bonathi ya majani shai imetoka na lazima tukunywe mahala kwingine sio kila saa karumaindo
Naeza kukutuma pale XS millionaire Baricho road.
Kimundu Kimee
[ATTACH=full]136594[/ATTACH]
My fren, Ikiwa mfuko si poa enda supermarket or even better beer distributor ujipange hizo mzinga.
Hiyo pelekea king mswati. Hapa hakuna kings
the bible is very clear, Kings should not drink wine nor have a craving for alcohol. Umeskia kama mimi ni Mswati?
nataka clabu
Sawa kaka. Leta hekaya kesho.
Enda Mist hapo Tom Mboya…karibu na stage ya Githurai. Williamson hapo utauziwa 2k na niko sure hutakosa kitu ya kunyandua.
sande sana
Tembea pale Club Novida or wherever ukunywe konyangi na mkate
Hujamwambia poa:D
Aaa
As usual @Engui never dissapoints with meffi answers
[ATTACH=full]136601[/ATTACH]
wapi meffi answer hapo juu mungich?