check this out

I made this great piece of art to show the state of our country and how divided we are.
I have named this piece “Man Does It.”
[ATTACH=full]132128[/ATTACH]

Ile wakati njaa itakushika kama hauna kakitu ndio utajua art is edible…

:Deasy now pimpmachine

@culture naona umerudia UMAMA fullblast , ngombe ya grade wewe .

:D:Dngombe bukusu tulia

It’s been years since I last ate one of those ama kangumu,

correspondent banaa tuletee content za kilimani mums , nimezimiss sanaaa

niliambiwa niwache umama ama niblockiwe

Ngoja tu hapo Nema wanakuja

[ATTACH=full]132141[/ATTACH]

:D:D:Dmeffi

I also found out nko na miaka kama mbili… sijakula mahindi choma ama sugarcane Shait!

Culture ukona vituko siku hizi… Yaani uliona ununue ndazi worth 5kshs… Cut it to pieces, piga picha then upost???:D:confused:
Leo Sina matusi :slight_smile:

@Phylgee your avatar … mmmmmh :oops::oops:

I hope you are not a perv…

Not at all, just a normal fisi :wink:

Eish Brathe manze tumbukiza hiyo ndunya hasapa kwenye hii ndondo nimetokotesha[ATTACH=full]132156[/ATTACH]halff[ATTACH=full]132157[/ATTACH]

He is

Kinda figured that out…